ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Tanga Technical Institute
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

 

Bishop Elect

Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

..


 

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu amejumuika na Was...
  • Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Askofu Mteule Mch. Dkt. Msafiri J. Mbilu yupo ziarani katika Mission ya Kigoma ambapo ameshiriki kat...
  • Wahitimu wa mafunzo ya Muziki  Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa mafunzo ya Muziki Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa Muziki (Tarumbeta) wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu wao ndugu Michael Kivulenge...
  • Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Picha za matukio mbalimbali ya kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya...
  • Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

    Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

Our Calendar

Last month March 2021 Next month
S M T W T F S
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30 31

SEKOMU University

Tanga Technical Institute

Web Links

  • Bumbuli Clinical Officer's Training Centre
  • Sebastian Kolowa Memorial University
  • Evangelical lutheran Church in Tanzania
  • Lutheran Mission Cooperation
     

Staff Mail

ELCT North Eastern Diocese

Heri ya maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Tanzania

  • Print
Details
Published: 09 December 2020

Hits: 2607

Mwendelezo wa Maadhimisho na Mafunzo ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia

  • Print
Details
Published: 04 December 2020

 Siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia zinaendelea katika mikoa yote Tanzania, ambapo leo tarehe 04/12/2020 Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kwa kushirikiana  na Kituo cha Watoto Wenye Ulemavu wa Akili (Irente Rainbow School) wametoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga.

ulimwengu ukiwa katika siku 16 za kuhamasisha kupinga ukatili wa kijinsia hususani kwa wanawake na watoto.Baadhi ya watu wenye mahitaji maalumu wilayani Lushoto Mkoani Tanga wameomba kuwekewa mazingira yenye uhakika wa kupata elimu bora, hali itakayo pelekea ushiriki wao kuwa mkubwa katika ngazi za maamuzi na uzalishaji mali.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye semina iliyo jumuisha wazazi na walezi wenye watoto wenye mahitaji maalumu iliyoandaliwa na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kwa kushirikiana na Kituo cha Watoto Wenye Ulemavu wa Akili (Irente Rainbow School) wameiomba serikali na wadau wakati huu kuwawekea mazingira rafiki ya wao kupata elimu ya darasani na ya ujuzi wa kujitegemea.

Hits: 1689

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Handeni Jimbo la Tambarare

  • Print
Details
Published: 29 November 2020

 

Leo tarehe 29/11/2020 imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Handeni Jimbo la Tambarare Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMS) ambapo  vijana wapatao 9 walipata kipaimara na mmoja kati yao alibatizwa.Ibada hiyo iliongozwa na Mch.William Karata na Mch.Ismail Ngoda.Ibada ilihudhuriwa na Wachungaji, Wainjilisti,Mashemasi,Kwaya,Washarika pamoja na watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Usharika wa Handeni unao ongozwa na Mch Lewis F.Shemkala

Hits: 2351

Read more ...

Mkutano Mkuu wa 3 baada ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

  • Print
Details
Published: 26 November 2020

Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMS) imefanya Mkutano Mkuu wa 3 baada ya miaka 125 ya Injili ulioanza tarehe 25-26/11/2020  ikumbukwe mkutano huu ulikuwa na ajenda kuu moja ya Uchaguzi wa Askofu  mpya wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na viongozi wengine.

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati maalumu ya kuratibu shughuli za mkutano mkuu wa uchaguzi wa Askofu ni Askofu Mstaafu Dkt. Paulo Akyoo toka KKKT Dayosisi ya Meru ambaye baada ya uchaguzi alimtangaza Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu aliye chaguliwa na Wajumbe wa mkutano Mkuu kuwa Askofu mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa kupata kura 194  sawa na 89.4% .

Hits: 3611

Read more ...

  1. Wakuu wa Majimbo Wateule KKKT-DKMS
  2. Askofu Mteule na Dean Mteule wa KKKT-DKMS
  3. Ibada ya mazishi ya Mch. Yesaya M. Zahabu
  4. Pumzika kwa Amani Mch Yesaya Zahabu

Page 7 of 28

  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...
  • 11

Back to Top

© 2021 ELCT North Eastern Diocese