ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Tanga Technical Institute
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

 

Bishop Elect

Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

..


 

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu amejumuika na Was...
  • Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Askofu Mteule Mch. Dkt. Msafiri J. Mbilu yupo ziarani katika Mission ya Kigoma ambapo ameshiriki kat...
  • Wahitimu wa mafunzo ya Muziki  Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa mafunzo ya Muziki Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa Muziki (Tarumbeta) wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu wao ndugu Michael Kivulenge...
  • Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Picha za matukio mbalimbali ya kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya...
  • Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

    Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

Our Calendar

Last month March 2021 Next month
S M T W T F S
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30 31

SEKOMU University

Tanga Technical Institute

Web Links

  • Bumbuli Clinical Officer's Training Centre
  • Sebastian Kolowa Memorial University
  • Evangelical lutheran Church in Tanzania
  • Lutheran Mission Cooperation
     

Staff Mail

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Malibwi,Youths Confirmation at Malibwi Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 14 September 2020

 Mnamo tarehe 13/09/2020 imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Malibwi Dinari ya Kaskazini.Ambapo ilifanyika ibada iliyokuwa na matukio mbalimbali vijana wapatao 135 walipata kipaimara  8 kati yao walibatizwa na ndoa moja ilibarikiwa.Liturgia katika ibada hiyo iliongozwa na Mch Benjamin Chambo mchungaji wa usharika na mzaidizi wa mkuu wa Dinari ya Kaskazini, na Mch Paulo Diu Mratibu wa Missioni na Uinjilisti alihubiri neno la Mungu.

 

Hits: 337

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Mlalo,Youths Confirmation at Mlalo Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 06 September 2020

IBADA YA KIPAIMARA USHARIKA WA MLALO

Leo imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Mlalo Dinari ya Kaskazini.Ambapo imefanyika ibada iliyokuwa na matukio mbalimbali vijana wapatao 118 wamepata kipaimara  8 kati yao walibatizwa na ndoa moja ilibarikiwa.Liturgia katika ibada hiyo iliongozwa na Mkuu wa Dinari ya Kaskazini Mch Peter Bendera, na msaidizi wa Baba Askofu Mch Dkt Eberhardt Ngugi alihubiri neno la Mungu. Awali ibada ilitanguliwa na uwekwaji wa jiwe la msingi katika nyumba ya mtumishi.

 

Msaidizi wa  Askofu Mch Dr. Eberhardt Ngugi akimbatiza mmoja wa vijana waliopata kipaimara

Assistant to the Bishop Rev. Dr. Eberhardt Ngugi baptizing one of the Confirmands

Hits: 2316

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Shume Youths Confirmation at Shume Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 23 August 2020

Leo tarehe 23/08/2020 imekuwa siku ya baraka kwa  washarika wa Shume Dinari ya Kaskazini, ambapo  vijana wapatao 212 walibarikiwa.Liturgia katika ibada hiyo iliongozwa na Mkuu wa Dinari ya Kaskazini Mch Peter Bendera,  na msaidizi wa Baba Askofu Mch Dkt Eberhardt Ngugi alihubiri neno la Mungu.

 

Hits: 1811

Read more ...

Mradi wa kuimarisha maisha ya watoto na vijana wenye ulemavu katika Milima ya Usambara - katika kipindi cha Covid-19

  • Print
Details
Published: 15 August 2020

Mradi wa kuimarisha maisha ya watoto na vijana wenye ulemavu katika Milima ya Usambara- katika kipindi cha Covid-19 yamefanyika mambo mbalimbali ikiwemo utoaji elimu juu ya namna ya kujikinga na ugonjwa huu. Maeneo hayo ya mradi ni katika baadhi ya kata na vijiji wilayani ya Lushoto, Halmashauri ya Bumbuli na wilaya ya Mkinga. Hii ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali za mitaa, mashuleni, nyumba za ibada (makanisani na misikitini).

Hits: 4914

Read more ...

  1. Mkesha wa vijana
  2. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kange Youths Confirmation at Kange Lutheran Parish
  3. Tanzia
  4. TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO SHULE YA SEKONDARI LWANDAI .

Page 10 of 28

  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14

Back to Top

© 2021 ELCT North Eastern Diocese