ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Tanga Technical Institute
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

 

Bishop Elect

Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

..


 

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

    Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu amejumuika na Was...
  • Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

    Askofu Mteule Mch. Dkt. Msafiri J. Mbilu yupo ziarani katika Mission ya Kigoma ambapo ameshiriki kat...
  • Wahitimu wa mafunzo ya Muziki  Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa mafunzo ya Muziki Kanisa Kuu Lushoto

    Wahitimu wa Muziki (Tarumbeta) wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu wao ndugu Michael Kivulenge...
  • Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.

    Picha za matukio mbalimbali ya kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya...
  • Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

    Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo

Our Calendar

Last month March 2021 Next month
S M T W T F S
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30 31

SEKOMU University

Tanga Technical Institute

Web Links

  • Bumbuli Clinical Officer's Training Centre
  • Sebastian Kolowa Memorial University
  • Evangelical lutheran Church in Tanzania
  • Lutheran Mission Cooperation
     

Staff Mail

ELCT North Eastern Diocese

NAFASI ZA MASOMO TANGA TECHNICAL INSTITUTE

  • Print
Details
Published: 09 February 2021

Hits: 713

Happy Anniversary

  • Print
Details
Published: 07 February 2021

Hits: 942

Read more ...

Hitimisho la Semina elekezi kwa Wakuu wa vituo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki

  • Print
Details
Published: 05 February 2021

Kaimu katibu Mkuu Mch. Godfrey T. Walalaze leo tarehe 05/02/2021 amehitimisha Semina elekezi ya mafunzo ya kuimarisha Vituo vya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki iliyo anza jana Katika ukumbi wa mikutano Cathedral ambapo amegusia mambo mbalimbali ikiwemo umuhimu wa kuzijua Kanuni, Sheria na Taratibu za Kazi.

Hits: 1092

Read more ...

Idara ya Jinsia na Watoto KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Yapata uongozi mpya

  • Print
Details
Published: 30 January 2021

Idara ya Jinsia na Watoto KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki imepata uongozi mpya ambao umechaguliwa kuiongoza idara hiyo kwa miaka minne ijayo walio chaguliwa ni Bi. Christina Peter ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Idara, Bi. Mercy Mushi, Makamu Mwenyekiti, Bi. Miriam Mndeme, Mwandishi  na Bi. Flora Luziga, Mhazini.

(KATIKA PICHA NI) Mratibu wa Idara ya Jinsia na Watoto KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Happyness Diu wa pili kulia akiwa na Viongozi wapya, Bi. Flora Luziga wa kwanza kushoto, Bi. Mercy Mushi wa pili kutoka kushoto, Bi. Christina Peter wa tatu toka kushoto (Mwenyekiti wa Idara) na Bi. Miriam Mndeme wa kwanza kulia.

Kwa niaba ya Uongozi huo mpya Mwenyekiti wa Idara Bi. Christina Peter amewashukuru wajumbe wa mkutano huo kwa imani kubwa kwao na kuahidi kufanya kazi hiyo kwa maslahi mapana ya Dayosisi na Kanisa kwa Ujumla.

Hits: 1250
  1. Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Idara ya Jinsia na Watoto KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
  2. Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu pamoja na viongozi wengine wa Dayosisi washiriki Mazishi ya Baba mzazi wa Prof . Christopher Mahonge
  3. ELCA East Africa Global Mission Representative Visits ELCT-NED
  4. Askofu Mteule wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, aeendelea kutambulishwa

Page 3 of 28

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2021 ELCT North Eastern Diocese